KUTEKWA KUMEKWAMISHA KUCHELEWA KWA ALBUM YANGU"'MON CENTROZONE - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, June 6, 2017

KUTEKWA KUMEKWAMISHA KUCHELEWA KWA ALBUM YANGU"'MON CENTROZONE

Msanii wa mziki wa kizazi kipya kutoka Dodoma amesema tukio la kutekwa katika studio za Tongwe ni kikwazo mojawapo kilicho sababisha kukwamisha ujio wa albam yake mpya.

Tukio la kutekwa kwa wasanii hao kutoka tongwe records lilihusisha wenzake 2 ambaye ni producer Binladen,Pamoja na Roma.

Akizungumza na micharazo Time ya Dodoma fm radio amesema alikuwa anakaribia kukamilisha album hiyo lakini bahati mbaya akajikuta wametekwa na watu wasiojulikana hali iliyopelekea kukwamisha kwa albam hiyo.

‘’Unajua nilifika hatua ya mwisho ya kukamilisha albam hiyo lakini ghafla tukajikuta mikononi mwa watu wasiojulikana na ndo walio pelekea nishindwe kumalizia albam yangu’’Alisema Moni central zone
Ameongeza kuwa tayari ameongea na wasambazaji wa albamu  ili akiitoa iweze kusambaa kwa mashabiki wake wote.

Moni Centroozone  anafanya vizuri na wimbo wake Tunaishi nao,

Na Beny Bert                                     Chanzo  micharazo time

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages