WASHIRIKI WA MISS DODOMA 2018/2019 WATEMBELEA HOSPITALI KUU YA DODOMA, TAZAMA WALICHO KIFANYA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Sunday, June 3, 2018

WASHIRIKI WA MISS DODOMA 2018/2019 WATEMBELEA HOSPITALI KUU YA DODOMA, TAZAMA WALICHO KIFANYA.

Warembo wanaoshiriki kinyang'anyiro cha Miss Dodoma 2018 wakiongozwa na mratibu wa Miss Dodoma mwaka huu Anna Kimpa kwapamoja wameunga mkono kampeni ya Dodoma kuwa ya kijani kwa kupanda miti katika hospitali kuu ya la jijini Dodoma.
Image may contain: 8 people, people smiling, people standing and outdoor
Washiriki wa Miss Dodoma 2018
Tukio hilo lililofanyika june 2, 2018 lilifanyika kwa lengo la kuwazungusha washiriki hao kwa watu wenye mahitaji mbalimbali pamoja na kujifunza jinsi gani yakuishi na jamii inayo wazunguka, jambo lingine lililofanywa na warembo ni ufanyaji wa usafi katika hospitali hiyo.

TAZAMA PICHA.
Wakiwa kwenye moja ya mti waliupanda
Image may contain: 3 people, tree, grass, plant, beard, outdoor and nature
upandaji wa miki ukiendelea
Image may contain: 9 people, people smiling, people standing and indoor
wakikabidhi moja ya misaada walizopeleka katika hosptal hiyo
Image may contain: one or more people and people sitting
wakitazama wagonjwa
Image may contain: 21 people, people smiling, people standing and shoes
wakiwa kwenye picha ya pamoja na uongozi wa hospitali.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages