USIRIOUS WANGU NDO UNA IMARISHA CAPITAL LETTER ''Mansuli - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, May 31, 2017

USIRIOUS WANGU NDO UNA IMARISHA CAPITAL LETTER ''Mansuli

Msanii wa mziki miondoko ya hip hop nchini mansuli amesema kutokana na msanii mwenzake anayeunda kundi la capital letter anayefahamika kama Veri kukabiliwa na majukumu imepelekea yeye  kuendelea kulinda jina la kundi hilo ili lisipotee kwa mashabiki wao.

Akizungumza na mtangazaji wa kipindi cha micharazo time kinachoruka kupitia Dodoma redio msanii huyo amesema baada ya veri ambaye ni msanii anayeunda kundi la Capital letter kuoa hajawa serious katika muziki.

Mansulii amesema mara nyingi amekuwa akimlazimisha kufanya project nyingi katika kundi hilo ili kuendelea kulinda jina la kundi hilo na kuepusha kupotea kwa mashabiki,

‘’Unajua mara nyingi sana tikitoa kazi ya kundi la capital letter inaonekana kama kazi yangu binafsi hiyo ni kutokana na msanii mwenzangu kuwa bize sana na majukumu yake ya familia   na sasa hivi ameoa kwahiyo  hata kwenye media tour za mikoani kwenda kutambulisha nyimbo zetu  mimi ndo ambaye naenda‘’alisema mansuli

Ameongeza kuwa Capital letter inajihusisha na na vitu vingi ikiwepo masuala ya ulinzi na vitu vingine.

Capital letter sasa hivi wanafanya vizuri na wimbo wao TUSTAREHE ambao wamemshirikisha chege

Na Beny Bert   
Social network  Beny Bert                          


Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages