Aliyekuwa
meneja wa Diamond platnumz,Rich mavoko pamoja na samu wa ukweli Meneja maneno
amesema katika kazi yoyote huwezi kufanikiwa bila kwenda kwa mganga.
Akizungumza
na mtangazaji wa kipindi cha micharazo time kinacho ruka kupitia Dodoma fm
radio Beny Bert meneja asema
katika kazi yoyote huwezi kufanikiwa bila kwenda kwa mganga kutokana na kila
mtu anavyo amini na imani yake.
Amesema
kipindi alipokuwa meneja wa Diamond,Rich mavoko na samu wa ukweli amekiri wamewahi kwenda kwa waganga mara kibao
wakiamini wanafanikiwa.
‘’Unajua
hapa duniani huwezi kufanikiwa bila kwenda kwa mganga hayo yote ni kutokana na
mtu imani aliyonayo hata mimi naenda kwa mganga ili niweze kufanikishaa’’alisema meneja maneno
Sasa hivi
meneja maneno anafanya vizuri na wimbo wake jasho lake alio mshirikisha Dullysks
Na Beny
Bert
Social
network Beny Bert