DIRECTOR AKWAMISHA KAZI MPYA YA BUJANLAU THE KING - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, May 31, 2017

DIRECTOR AKWAMISHA KAZI MPYA YA BUJANLAU THE KING

Kutokana na mwingiliano kazi kati ya  director na  mwanamziki wa hip hop kutoka Dodoma Bujanlau the king imepeleke kuchelewesha kuachia kazi  mpya ya msanii huyoambayo inaitwa PRESHA.

Rapa huyo aliyasema hayo wakati akizungumza na kipindi cha micharazo time cha Dodoma fm radio ambapo amesema ananyimbo tano ambazo amerekod toka mwezi wa kwanza lakini akaona bora aachie wimbo huo kutokana na kuwepo kwa presha ya mambo mengi kipindi hiki ikiwepo siasa,uchumi,muziki nk.

Akijibu swali la matumizi ya mitandao ya kijamii kwa upande wake amesema alipoona Director wa video hiyo akaamua aendelee kupromote katika mitandaao ya kijamii ili kuwaweka mashabiki mkao wa kula ambapo amehaidi kabla ya mwezi ramadhani atakuwa ameachia kazi hiyo.

‘’Mara nyingi mimi mitandao yangu ya kijamii huwa natumia vizuri hasa nahakikisha na promote kazi zangu ili ni push harakati zangu kwahiyo huwezi kunikuta na post ujinga ujingaa’’Alisema Bujanlau




Kwa sasa hivi mwanamziki huyo yupo Dar es salaam anasubiri muda ufike afanye collable na waheshimiwa kutoka bungeni japo hajaweka wazi kama ni mh.Joseph mbilinyi maarufu kama sugu au Joseph haule ambaye na mbunge wa mikumi professor jay

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages