SNURA AMTISHIA MTANGAZAJI BAABA YA KUULIZWA SWALI KUHUSU MZAZI MWENZAKE ALIEKO DODOMA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, May 9, 2017

SNURA AMTISHIA MTANGAZAJI BAABA YA KUULIZWA SWALI KUHUSU MZAZI MWENZAKE ALIEKO DODOMA.

Kupitia kipindi kinachoruka kila siku ya jumatatu hadi ijumaa Micharazo Time ya 98.4 Dodoma Fm Radio na kuongozwa na Benedict Ngelangela pamoja na Dvj Tony walifanya mahojiano na malkia wa Uswazi SNURA MUSHI ambaye alionesha kikugumizi baada ya kuulizwa swali ambalo linamuhusu baba wa mtoto ambaye anaishi mkoani Dodoma.

Image result for SNURA
SNURA
SNURA aliulizwa kuhusu mahusiano yake na baba mtoto aishie Dodoma kwasasa wakoje na kama wanawasiliana Snura alishindwa kuyajibu maswali hayo nakujihami kuwa yeye sio muoga wakujibu maswali lakini hata lijibu swali hilo kutokana na anaogopa kujibu kutokana na mtangazaji anaweza kujikuta matatizoni baada ya majibu yake.


Baada ya swali ambalo lilionesha kuugusa moyo wa SNURA alisema nikijibu hilo swali unaweza jutia kibarua chako na unaweza hama Dodoma bila kujua kwaio tafuta kazi mahala pengine ndio uniite tena kuniuliza hilo swali lako. SNURA ALIJIBU HUKU AKICHEKA KWA SAUTI KUBWA.


Wakati akiendelea kulazimishwa kujibu swali hilo SNURA aligoma kabisa kujibu nakusema anawajua izuri watu wadodoma kwaio anaomba akifika Dar ndioaulizwe tena swali la mzazi mwenzake aliepo Dodoma.

Hivi karibuni SNURA alilalamika kutowasiliana vyema na baba wamtoto aliezaa nae ambae ni mfanyakazi wa club moja maarufu mkoani Dodoma (jina tumelihifadhi)

SOURCE MICHARAZO TIME 98.4 DODOMA FM RADIO

NA mwandishi wetu.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages