MONI CENTRALZONE AMKUBALI HARMORAPA AMFANANISHA NA BIA YA BALIMI. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, March 15, 2017

MONI CENTRALZONE AMKUBALI HARMORAPA AMFANANISHA NA BIA YA BALIMI.

Msanii wa muziki kutoka Dodoma MONI CENTRALZONE kupitia ukurasa wake wa facebook na Instagram ametumia kuandika hisia zake kwamsanii ambae anashutumiwa kwa kutembelea kiki kupitia wasanii wengine.
Image may contain: 1 person
Moni aliandika maneno yakuashiria kukubali HARMORAPA baada ya kupost picha ya msanii huyo nakuandika maneno yanayoashiria kukubali harakati za msanii huyo chipukizo lakini mwisho kabisa aliandika HARMORAPA ndie msanii wake bora kwa mwaka 2017.

SOMA ALICHOANDIKA.

Mwanangu @harmorapatz1 mtoko wako kama wa #BALIMI 
yaani umekalisha vima wote 
Nimeona nikutafutie a.k.a mwanangu mpambanaji 
#HARMORAPA a.k.a #BALIMI 
ooi huyu ndo msanii wangu mkali 2017 #kibokoYaMabishoo


 NA aliambatanisha na picha hii.

Image may contain: 1 person

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages