
JIMMY amesema wasanii wengi wa dodoma hawana upendo toka kwa wasanii wenzao na wamekuwa wakiwatengenezea fitina wasanii wengine wasisikike kwenye radio au pia kuwanyima watu wengine wasipewe fursa za show nakuamini wao pekee ndio wanao takiwa kusikika pekee nakuonekana.
pia ameongeza nakusema kuna wasanii ambao wamekuwa kipaumbele kuomba msaada kwasanii wengine kupostiwa kava zao lakini zikija zawenzao hawaoneshi ushirikiano hata kidogo na mwisho wa siku page zao zinajaa kazi zao na picha zao pekee.
aidha amedai kuwa hajawah kuwa na tatizo lolote na msanii wa dodoma ila anaamini wapo baadhi ambao hawapendi kile ambacho anakifanya.
@source micharazo time ya 98.4 Dodoma fm radio.
Na Benedict Ngelangela.