Chibby Dayo alisema kwasasa yupo ndani ya mkoa wa Dodoma kwa lengo kuwapa burudani wakazi wa Dodoma kwa muda wa mwezi mmoja.
lakini ktu ambacho kiliwashangaza wengi ni uwezo wake wakutoa burudani aliouonesha live kwenye kipindi hicho cha micharazo time ndani ya 98.4 Dodoma fm radio.
TAZAMA VIDEO HII KUTOKA DOTV.