Kupitia kipindi cha micharazo time toka 98.4 dodoma fm radio msanii wakuitwa Breazy Kinyangoroka amesikika akisema amewahi kwenda kwa mganga kwaajili ya kuufanya muziki wake ufike mbali zaidi.
Breazy ambae kwasasa anafanya kazi na kampuni ya BIORN ENTRTIMENT alikuwa kwenye exclusive interview ya kipindi cha micharazo time ambapo alipata nafasi yakuzungumza mengi kuhusu muziki wake na malengo yake ya mwaka 2017.
Mtangazaji wa kipindi hicho Benedict Ngelangela alitaka kujua kama msanii huyu aliwahi kujihusisha na tetesi za ushirkina ndipo msanii huyo alivyo simulia mkasa mzima na kipi kilicho sababisha yeye kwenda kwa mganga na kilicho mtokea baada ya kufanya jambo hilo.
BONYEZA HAPO CHINI KWENYE MAANDISHI MEKUNDU KUSIKILIZA.
BONYEZA HAPA KUMSIKILIZA BREAZY AKISIMULIA ALIVYO ENDA KWA MGANGA ILI APANDISHE MZIKI WAKE
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Friday, February 3, 2017
Home
BURUDANI
USHIRIKINA MUZIKI WA DODOMA MSIKILIZE (AUDIO) BREAZY TOKA BIORN AKIKIRI KUMTUMIA MGANGA KWENYE MUZIKI WAKE.
USHIRIKINA MUZIKI WA DODOMA MSIKILIZE (AUDIO) BREAZY TOKA BIORN AKIKIRI KUMTUMIA MGANGA KWENYE MUZIKI WAKE.
Tags
# BURUDANI
Share This
About inngelangelanews.blogspot.com
BURUDANI
Labels:
BURUDANI
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.