![]() |
JACO BEAT |
Kupitia kipindi cha micharazo time toka 98.4 dodoma fm radio kipindi kinachoongozwa na Benedict Ngelangela pamoja na Dj Tony Jacco amesema amekuwa akitafutwa na miongoni mwa watu ambao wapo kwenye kamati hiyo lakini amekuwa akiwachomolewa kutokana na kuhofia usalama wake.
pamoja na hayo Jacco amesema haogopi vitisho kwani alichokisema ni ukweli na baadhi ya wasanii wanamuunga mkono kwa hilo.
MSIKILIZE HAPA CHINI AKIFUNGUKA.
BONYEZA HAPA KUMSIKILIZA