NELLY WAMANCHALI-- GIFTEDSON NA TEDDY WIZZY NDIO WASANII NNAO WAKUBALI DODOMA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, December 5, 2016

NELLY WAMANCHALI-- GIFTEDSON NA TEDDY WIZZY NDIO WASANII NNAO WAKUBALI DODOMA.

Msanii wamuziki kutoka Dodoma Nelly wamanchali amewataja wasanii anaonwakubali zaidi ndani ya mkoa wa Dodoma.

Akizungumza na kipindi cha Micharazo time toka 98.4 Dodoma FM radio, Nelly aliulizwa ni wasanii gani ambao anawakubali zaidi ndani ya mkoa wa Dodoma, Nelly hakusita kuwataja wasanii hao nakusema wasanii anao wakubali kwasasa ni wasanii wanao unda kundi la C.M.A ambo ni Giftedson ambae anashika na wimbo wake wa I am GIfted pamoja na Teddy Wizzy msanij pekee wa Rap ndani ya Dodoma anae fanya vizuri.

Kwasasa Nelly anawimbo mpya unaitwa katotoo.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages