HII NI COLLABO KUBWA KUTOKEA NDANI YA DODOMA JACCO BEATS FT WISE ONE. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, October 6, 2016

HII NI COLLABO KUBWA KUTOKEA NDANI YA DODOMA JACCO BEATS FT WISE ONE.

kuna baadhi ya wasanii mkoani Dodoma ambao wamejipatia umaarufu mkubwa ndani ya mkoa baada ya kufanya kazi nzuri na kuonesha jitihada katika mzuki wao.
wise one na jacco beat

Anaitwa Jaco Beat ni msanii anae shikiria tuzo ya msanii bora wa kiume mkoani Dodoma ambaye kwasasa anatamba na wimbo wake wa I miss you, amesema wimbo unaofatwa kwasasa ni wimbo ambao ameshirikiana na msanii mwenzake kutoka Dodoma ambaye ni Wise One

amezungumza hayo wakati akiongea na mtangazaji wa kipindi cha micharazo time toka 98.4 Dodoma fm radio Benedict Ngelangela nakueleza anatarajia wimbo huo utafanya vizuri kwakua wote ambao wameshiriki ni waimbaji wazuri na wanujua muziki vizuri zaidi.

Na  Benedict Ngelangela

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages