SIKILIZA BACK TO THE HISTORY TOKA MICHARAZO TIME YA 98.4 DODOMA FM RADIO ONE_SIX, YOUNG_JEEZY WAMESHARE SIKU MOJA YA KUZALIWA. (SIKILIZA HAPA) - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, September 28, 2016

SIKILIZA BACK TO THE HISTORY TOKA MICHARAZO TIME YA 98.4 DODOMA FM RADIO ONE_SIX, YOUNG_JEEZY WAMESHARE SIKU MOJA YA KUZALIWA. (SIKILIZA HAPA)

hiki ni kipengele moja wapo ambacho husikika kupitia kipindi cha Micharazo time toka 98.4 dodoma fm radio ambacho kinaitwa BACK TO THE HISTORY, Huusisha matukio yote makubwa ambayo yanakuwa yaliwahi kutokea tarehe za nyuma, lakini pia husikika baadhi ya watu ambao wamezaliwa ndani ya siku husika.


Na tarehe ya leo sept 28, 2016 amezaliwa msanii wa muziki One six kutoka Dodoma huku akishare tarehe moja na Young Jeezy.

sasa kupitia show ya micharazo time ya 98.4 Dodoma fm radio inayoongozwa na Benedict Ngelangela imetoa historia zao kidogo pamoja na ngoma ambazo waliwahi kuzitoa nakufanya vizuri zaidi.

MSIKILIZE SULEIMANI JUMA KODIMA AKITUSOGEZEA KILA KITU.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages