
kupitia account yake ya insta na facebook Moni amepost screenshot zilizoambatana na ujumbe kwa watu wanao msaport pamoja na kwa watu ambao wameshaitazama video yake mpya iliyo ongozwa na Dir Nicklass.
#shukran sana my blood @izzo_biznesss @izzo_biznesss always unanipa sana moyo bro! Mungu atakulipa #push_it_to_the_limit #sembedona#linkonmybio

TAZAMA VIDEO HAPA KAMA BADO HAUJAICHEKI.