DIR NICKLASS ASEMA ONESIX ANANIKWEPA KUFANYA NAE VIDEO, ATAJA SABABU ZA KUTOFANYA NAE VIDEO MPAKA SASA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, July 21, 2016

DIR NICKLASS ASEMA ONESIX ANANIKWEPA KUFANYA NAE VIDEO, ATAJA SABABU ZA KUTOFANYA NAE VIDEO MPAKA SASA.

DIR wa video ambae ni mwenyeji wa dodoma na kazi zake anafanyia Dar es salaam amesema anatamani sana kufanya kazi na msanii Onesix kutoka Dodoma lakini ameshindwa kufanikisha ndoto hiyo.
DIR NICKLASS
akizungumza na mtangazaji wa kipindi cha micharazo time toka 98.4 dodoma fm radio Nick amesema ameshajaribu kumuomba Onesix kufanya nae kazi lakini hajawahi kupata majibu ya kukubaliwa kufanya nae video.

Nicklass amesema wimbo ambao alihitaji kufanya nao kazi toka kwa Onesix ni wimbo wa Beautiful lakini tangu ampe taarifa mmiliki wa nyimbo hiyo hajajibiwa lolote mpaka sasa.

kwaupande mwingine Nicklass amesema baada ya kumuomba wimbo huo wa beautiful Onesix alimpelekea wimbo wa Umependeza ambao alikuwa ameshirikishwa na msanii mwenzake.

lakini ikumbukwe kuwa kwasasa Onesix anawimbo ambao kamshirikisha Giftedson unaitwa WINA ni wimbo ambao unafanya vizuri kwasasa kwenye media za dodoma kwahiyo anaweza kuifanya hiyo kama fursa ya kufanya kazi na dir huyo anae kuja kwa kasi zaidi.

Credit MICHARAZO TIME 98.4 DODOMA FM RADIO

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages