VIDEO(THECAPATILTZ) OMBI LA G SOLO KWA MH MBUNGE WA DODOMA ANTHONY MAVUNDE NI KUTEULIWA ENEO LITAKALO JENGWA SANAMU YA ALBERT MANGWEA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, June 20, 2016

VIDEO(THECAPATILTZ) OMBI LA G SOLO KWA MH MBUNGE WA DODOMA ANTHONY MAVUNDE NI KUTEULIWA ENEO LITAKALO JENGWA SANAMU YA ALBERT MANGWEA.

Siku ya tareh 19 june 2016 mbunge wa dodoma mjini Anthony mavunde aliitisha mkutano na wasanii wa mkoa wa dodoma.

lengo kubwa la kuhitisha kikao hicho ni kutaka kutambua matatizo yanayosababisha wasanii wa dodoma kushindwa kufika mbali kupitia sanaa yao.

miongoni mwa watu waliopata nafasi ya kuzungumza kwa niaba ya wasanii wa dodoma ni msanii mkongwe G SOLO na kusema anaomba dodoma iteuliwe sehemu ya kuweka sanamu ya marehemu Albert Mangwea.


video na picha kwa hisani ya THE CAPITALTZ BLOG.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages