NINI KINAENDELEA KATI YA MONI WA CENTRAL ZONE NA SHILOLE, TAZAMA HII PICHA ILIYOZAGAA MITANDAONI NA MASHABIKI WALICHOKISEMA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, April 28, 2016

NINI KINAENDELEA KATI YA MONI WA CENTRAL ZONE NA SHILOLE, TAZAMA HII PICHA ILIYOZAGAA MITANDAONI NA MASHABIKI WALICHOKISEMA.

Mtangazaji wa kituo cha radio toka dodoma ABM radio DJ RODGER  kupitia ukurasa wake wa facebook amepost picha inayomuonesha muimbaji wa muziki wa hip hop ambaye anatamba na wimbo wa SEMBE DONA kwa sasa MONI WA CENTRALZONE Wakiwa zero distance na mwanamuziki mwenzake wa kike analiye wahi kuwa na mahusiano na NUH MZIWANDA.
MONI

Kwenye picha hiyo MONI anaonekana kumpulizia Moshi wa(........) shilole kwa kutumia mdomo na SHILOLE nae kuupokea kwa kutumia mdomo.
djrodger kupitia facebook yake aliandika maneno haya kupitia picha hiyo.


Mmmmh iv ni Macho yangu au naota huyu ni Msanii wa Dodoma anaitwa Moni mzee wa Sembe Dona hii pc nimeona sehem ss Kwa kuangalia hii pc haraka haraka watakuwa wanatoka na Shishi c ndio?na km wanatoka unamshaur nn huyu kijana###Lakini kwa Moo in4@@Uskose kwny Google in4@@Abm Radio 2tapata undani zaid
MONI +SHILOLE
 
baada ya hapo baadhi ya wadau walianza kuporomosha maoni yao
 Amigo Desperado acha ambust dogo ampe kiki
Notabene Emmanuel Mwakamala
Notabene Emmanuel Mwakamala aka Msela wa Yesu wa Second Generation KYELA. mwenyewe na ndio kioo cha jamii
Gilbert Msenzi
Gilbert Msenzi Hayo maupendo tu.
Clifford Hezron Mwana Nyanda
Clifford Hezron Mwana Nyanda Asipoangalia ataishia kusimulia tu kuwa aliwahi kuwa msanii
Rahabu Mapuli
Rahabu Mapuli Mapenz hayana mshauri
Like · Reply · 1 · 7 hrs
Clifford Hezron Mwana Nyanda
Clifford Hezron Mwana Nyanda Na kweli maana yakikolea hata watumie lugha zote kukushauri huwezi kumsikoliza mtu.
Like · Reply · 1 · 7 hrs
Benedict Ngelangela
Write a reply...
Jasmin Mkojera
Nasma Rashidi
Nasma Rashidi Hapo ndio bas ten hadi azinduke ndio atasikia kama mwenzie kabakiwa na ningejua
Hassan Saidi Kikoti
Hassan Saidi Kikoti Pande za uheheni mailimbili
Ndio wasanii wenu wasasa
Mwache ajidai kwa kiki hiyo
Lucas Jonas
Lucas Jonas iyo kiki
Cash Bamzo TZ
Cash Bamzo TZ play sembe dona ya mon itakuwa poa kwa wana
Josephine Charles
Josephine Charles ahahahaahaha kiki hizo
Ben Bert
Ben Bert Muacheni jaman bado underground so anafahamikaje mon ndo fursa kama hiii
MrTz Wa DomTz
MrTz Wa DomTz Duuu jama kabugi
Kapitu Omary Kapitu
SOMA MAONI YA WADU WA MUZIKI.
 
 Amigo Desperado acha ambust dogo ampe kiki
Notabene Emmanuel Mwakamala
Notabene Emmanuel Mwakamala aka Msela wa Yesu wa Second Generation KYELA. mwenyewe na ndio kioo cha jamii
Gilbert Msenzi
Gilbert Msenzi Hayo maupendo tu.
Clifford Hezron Mwana Nyanda
Clifford Hezron Mwana Nyanda Asipoangalia ataishia kusimulia tu kuwa aliwahi kuwa msanii
Rahabu Mapuli
Rahabu Mapuli Mapenz hayana mshauri
Like · Reply · 1 · 7 hrs
Clifford Hezron Mwana Nyanda
Clifford Hezron Mwana Nyanda Na kweli maana yakikolea hata watumie lugha zote kukushauri huwezi kumsikoliza mtu.
Like · Reply · 1 · 7 hrs
Benedict Ngelangela
Write a reply...
Jasmin Mkojera
Nasma Rashidi
Nasma Rashidi Hapo ndio bas ten hadi azinduke ndio atasikia kama mwenzie kabakiwa na ningejua
Hassan Saidi Kikoti
Hassan Saidi Kikoti Pande za uheheni mailimbili
Ndio wasanii wenu wasasa
Mwache ajidai kwa kiki hiyo

Josephine Charles
Josephine Charles ahahahaahaha kiki hizo
Ben Bert
Ben Bert Muacheni jaman bado underground so anafahamikaje mon ndo fursa kama hiii
MrTz Wa DomTz
MrTz Wa DomTz Duuu jama kabugi
Kapitu Omary Kapitu

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages