GIFTEDSON AU COIN BOY AMEMUOMBA MSAMAHA UNCRECABLE WA RAP NATION, JE ANATAKA KUREJEA KWENYE KUNDI HILO. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, April 27, 2016

GIFTEDSON AU COIN BOY AMEMUOMBA MSAMAHA UNCRECABLE WA RAP NATION, JE ANATAKA KUREJEA KWENYE KUNDI HILO.

Msanii wa muziki toka dodoma gifted son ameandika ujumbe amabo unaonesha anamuomba msamaha msanii mwenzake uncrecable ambaye zamani walikuwa pamoja kwenye kundi la Rap nation.
Gifted son wakwanza kushoto

kupitia account yake ya facebook Giftedson ametumia ubunifu mkubwa kumwish happy birthday rafiki yake huyo na mwanmuziki mwenzake wa hip hop Uncrecable ambaye kwasasa anatumia jina la Wamelodies.

UJUMBE ULISOMEKA HIVI.
I know we've been not well homie but um sorry for what we've been through all the time, Nillikukera, kukubore, mistreat yu, Disrespect na vingine ambayo nafsi yako haikupendezewa navyo AM RIL SORRY... Happy birthday ‪#‎Genius‬ Uncrek.. ‪#‎storyabout‬ ‪#‎blood‬ ‪#‎rilniggazOnly‬ ‪#‎Tbt‬

 baadhi ya wasanii wanapotengana kwenye makumdi hugeuka kuwa maadui lakini kwa hili ambalo amelifanya Gifted ni jambo la kiungwana sana kwani watu wengi hudhani kuwa hawa jamaa wametengana na kazi hawafanyi pamoja lakini ushkaji unaendelea pale pale.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages