SENTENSI NZITO TANO ZA SONNATHA ABDALAH KUHUSU JACQUELINE MATERU, ACCOUNT YA MALKIA WA DOM. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, January 7, 2016

SENTENSI NZITO TANO ZA SONNATHA ABDALAH KUHUSU JACQUELINE MATERU, ACCOUNT YA MALKIA WA DOM.

Ni muigizaji wa kike, video editor na ni mtangazaji wa radio pia, anaitwa Sonatha abdalah kupitia kipindi cha micharazo time 98.4dodoma fm radio ameelezea tetesi zote ambazo zilikuwa zinamhusu yeye.
sonnatha abdalah kwenye pozi 
Sonnatha alikuwa akituhumiwa kumiliki account ya insta iliyobeba jina la malkia wa dom aTmbayo imeleta utata kwa baadhi ya watu huku muhusika na mmliki akiwa hajulikani kabisa.

pia ameelezea ishu ya kutokuwa na maelewano mazuri kati yake na muigizaji mwenzake Jacqueline Materu na kusema msimamo wako juu ya hilo.

SONNATHA AMBAYE ALIKUWA NI MTANGAZAJI WA 97.7 NYEMO FM AMENUKULIWA AKIYASEMA HAYA KUPITIA MICHARAZO TIME AMBACHO HUONGOZWA NA BENEDICT NGELANGELA.

NA HIZI NDO SENTENSI ZAKE TANO KUU.

1. Sina maelewano mazuri na hatusalimiani na JACQUELINE MATERU
2.Sina mpango wa kukutana nae na kusalimiana na JACQUELINE MATERU
3.Fungu likiwepo naweza kufanya kazi na JACQUELINE MATERU
4. naijua account ya MALKIA WA DOM na napenda anacho kifanya.
5. mimi si mmilki wa account ya MALKIA WA DOM mwenye ushahidi ajitokeze.
jaqueline materu kwenye pozi la selfie.
hayo ni baadhi ya yale mengi ambayo binti huyu mwenye vipaji vingi ameelezea, Sonnatha Abdalah anakuletea mualiko wa kuatafuta kazi za filamu ambazo ameedit yeye na kwasasa zinapatikana madukani.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages