DIRECTOR ERICK BACKAMAZA AWASHANGAZA WATU KWA KUPOST PICHA HII FB. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, January 22, 2016

DIRECTOR ERICK BACKAMAZA AWASHANGAZA WATU KWA KUPOST PICHA HII FB.

HUYU ni director wa video toka dodoma amegeuka kituko kwenye mtandao wa facebook baada ya kupost picha na kuandika kuwa asiulizwe yeye ni kabila gani.
bakamaza kwenye pozi

backamaza amepost picha hiyo ikionekana anapika huku kuni za kupikia zikiwa ni noti noti za elfu kumi kumi, je ni kabila gani wenye tabia hizo za misifa? na kwanini ameuliza hilo swali hilo?

baadhdi ya watu wamekuwa wakitoa comment na kuishia kucheka na wengine wakishangaa tu.
ITAZAME PICHA HII.
erick bakamaza na kituko cha mwaka


ERICK BACKAMAZA kwassasa anajiandaa kuachia video aliyoongoza ya msanii obby mlatino sasa kaa tayri kwa ujio mzuri na video iliyo vuka viwango.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages