SULEISH MARAH AWACHIMBA MKWARA WANAO TUKANA TUZO ZA NYAMBAGO. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, September 2, 2015

SULEISH MARAH AWACHIMBA MKWARA WANAO TUKANA TUZO ZA NYAMBAGO.

Suleish Marah ni muanzilishi wa tuzo za nyambago ambazo hufanyika kanda ya kati nchini lakini pia ni director wa movie toka Wood Vision.

kupitia ukurasa wake wa facebook siku ya jana ambayo sheria ya mitandaoni ilianza kutumika alipost maneno ambayo ni yakushangaza  na kushtua kwa wote ambao walikuwa wakitumia muda wao kuzitolea maneno machafu mitandaoni.
SOMA ALICHO ANDIKA HAPA.
@@@@Nina furaha sana kwan Leo ndio tarehe ambayo ukomboz wa matusi katika mtandao umeboreshwa km unabisha tukana tena NYAMBAGO AWARDS halaf tuonane mahakamani, thanks to MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA@@@@
SWALI NI MJE wahusika wameupata ujumbe?
Tuzo za Nyambago zinatarajia kufanyika kati ya mwezi wa 9 au mwezi wa 10.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages