MARIAM KOKU TOKA DODOMA ATANGAZA SIKU YA KUACHIA VIDEO ALIMSHIRIKISHA BUSHOKE - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, September 9, 2015

MARIAM KOKU TOKA DODOMA ATANGAZA SIKU YA KUACHIA VIDEO ALIMSHIRIKISHA BUSHOKE

Akizungumza na dodoma fm radio kupitia kipindi cha micharazo time saa 11 jioni hadi 2 usiku kwenye kipengele cha dom.com  KOKU amesema anatarajia kutoa video ya wimbo wake ambao umefanya vizuri kanda ya kati na mikoa mingi nchini.
 
KOKU amesema tayari amesha shoot video hiyo ambayo imetengenezwa na muongozaji anae chipukia kwa kasi nchini NICRASY na wamepanga kuitoa siku ya juma mosi kuitoa mbele ya umati mkubwa wa watu.
PiA Ameongeza na kusema kuwa video hiyo  itazinduliwa katika viwanja vya NGALAWA BAR au CLUB 7 kwenye big screen.
Kuhusu kiingilio KOKU amesema kiingilio ni bure kabisa kuanzia saa 12 jioni na kuendelea.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages