JACCO BEAT AUNGANA NA KOKU KWENYE UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA KACHIZI, NGALAWA BAR&CLUB 7 - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, September 11, 2015

JACCO BEAT AUNGANA NA KOKU KWENYE UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA KACHIZI, NGALAWA BAR&CLUB 7

Baada ya matandao huu kuripoti story kuwa siku ya juma mosi msanii wa kike KOKU toka dreamz records kutangaza kuwa ataachia video yake mpya ambayo amemshirikisha BUSHOKE, sasa list ya wasanii watakao msindikiza yaongezeka.

Akizungumza na kipindi cha  Micharazo time toka 98.4 dodoma fm radio JACCO amesema alikuwa akifanya shughuli zake dar lakini ijuma hii ataingia dodoma kwa ajii ya kumsapoti msanii mwenzake toka dodoma ambaye anamkubali sana.
Akielezea ni jinsi gani amejipanga kutoa burudani kali JACCO Amesema inabidi mashabiki zake wasikose kufika kwani anasilaha za kutosha kwenye show na kuwaacha watu midomo wazi.
Show hiyo itayo fanyika siku ya jumamosi katika ukumbi wa NGALAWA BAR&CLUB 7 Napia kuatakuwa na show ya live band.
Na BdeliciousMnyalu

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages