UNAIJUA TEAM SHONGODO? KUNDI JIPYA KUTOKA NKUHUNGU DODOMA, WACHEKI HAPA - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, September 8, 2015

UNAIJUA TEAM SHONGODO? KUNDI JIPYA KUTOKA NKUHUNGU DODOMA, WACHEKI HAPA

Vijana zaidi ya 80 amabo wanavipaji mbalimbali kama uigizaji, uimbaji na vitu vingi kiuwezo toka mitaa ya nkuhungu mkoani dodoma wamejipanga kuja kuuteka mji wa dodoma kwenye tasnia ya burudani.

kwasasa wamejipanga kuachia nyimbo yao mpya walio ifanya chini ya producer DOUBLE Y kutoka G SOUND RECORDS.
Moja ya vijana wanao unda kundi hilo ni pamoja na BREEZY, SLAYER HUN RAPER,BOY SANTANA RAPER, OMMY KIM ambaye ni mwimbaji.BREEZY nae ndani
Kaa mkao wa kula kuwa subiri na ujio wao mpya.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages