KUNDI LA RAP NATION TEAM LEO KUJIBU TUHUMA ZA KUWAHUSU NDANI YA MICHARAZO TIME YA 98.4 DODOMA FM RADIO. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, August 17, 2015

KUNDI LA RAP NATION TEAM LEO KUJIBU TUHUMA ZA KUWAHUSU NDANI YA MICHARAZO TIME YA 98.4 DODOMA FM RADIO.


LEO NDANI ya kipindi cha micharazo time kinacho rushwa kila siku ya juma tatu mpaka alhamisi muda kuanzia saa 11 jioni hadi saa 2 usiku kupitia kituo cha radio cha 98.4 dodoma fm radio kutakuwa na wasanii wenye umri mdogo lakini uwezo mkubwa kisanaa ambao wanaunda kundi la RAP NATION TEAM watanzungumza ishu mbalimbali ikiwemo track mpya aliyo itoa mwana kundi wa kundi hilo UNCRECABLE ambayo imeonesha kuwataja baadhi ya wasanii kutoka mkoani dodoma.
kwa mic ni bng@bdelicious@ngelangela pamoja na Andrew Qcky

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages