BAADA YA KUKATWA KWENYE TUZO ZA NYAMBAGO, BREEZY NA SUPER TALL WA THE ONE BAND WAJIFARIJI KWA NJIA HII. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Saturday, August 15, 2015

BAADA YA KUKATWA KWENYE TUZO ZA NYAMBAGO, BREEZY NA SUPER TALL WA THE ONE BAND WAJIFARIJI KWA NJIA HII.

BREEZY kwasasa anatamba na nyimbo yake ya TAMU wakati SUPRTALL akisifika kwa kuwa na sauti baab kubwa.
katika hali ya kushangaza vijana hao wawili wameonekana kwenye picha ya pamoja iliyotumwa na Breezy kupitia yake na kuandika maneno ya kujipa mayo ambayo yalisababisha mashabiki wengi wa muziki kuanza kuwafiriji.
PICHA NA CAPTION ILISOMEKA HIVI.

@@@@@@@Namwenzangu alie katwa kwa nyambago Central awards
Supertall TZ@@@@

swalli ni maneno hayo ni kuashiria walikuwa wastahili kuingia kwenye tuzo hizo lakini imetokea tofauti au lah???

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages