MENEJA WA SOMETIMES MEMO BAADA YA KUKUTANA NA MZEE ZAHIR ZORO AUNGANISHA COLLABO NA BANANA ZORO. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, August 20, 2015

MENEJA WA SOMETIMES MEMO BAADA YA KUKUTANA NA MZEE ZAHIR ZORO AUNGANISHA COLLABO NA BANANA ZORO.

Mtandao wa the capital TZ baada ya kuripoti story kuwa meneja wa sometimes memo kukutana na mzee zahir zoro ambaye ni baba mzazi wa banana zoro, kumbe haikuwa bure wala kwa bahati mbaya kwani amepata nafasi ya kukutana na kuunganisha collabo ya wimbo ambao atasimama SOMETIMES MEMO pamoja na BANANA ZORO.

Dodoma fm radio kupitia kipindi cha MICHARAZO TIME  kilimtafuta Msanii huyo na amethibitisha kuwa wapo tayari kufanya kazi na msanii huyo ambaye anamiliki band ya the bband.
alipoulizwa kama nyimbo yatakayo ifanaya itapewa jina gani Sometimes Memo hakuwa tayari kulisemea hilo na kusema itakuwa suprise kwa wasikilizaji na wapenzi wa muziki wake.
Pia amesema nyimbo hiyo itaandaliwa na maproducer wawili kutokana na mgawanyo wa kazi kwani lazima nyimbo hiyo iguswe na producer wake pamoja na producer wa banana zoro.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages