
BAADA ya watu wawili ambao inasemekana kipindi cha nyuma walikuwa ni wapenzi, mahaba yao yaliishia njiani biola sababu huku kila mmoja akimtuhumu mwenzake kuwa ndiye chnzo na ni mbaya kiroho na kiakili.
hivi karibuni Breezy ameechia wimbo wake mpya unaitwa TAMU na kwenye mashahiri hayo breezy amemdiss mwigizaji huyo mkali wa kike toka kanda ya kati.
Bila hiyana mmiliki wa mtandao wa Capital Tz aliwakutanisha waasimu hao wawili na kufanya nao xclusive interviw Tazama vide hapo chini.
kwenye mahojianao hayo breezy ameonekana akimuita Rachel dada ake huku aibu na kicheko cha kulazimisha kikidondoshwa na msichana Rachel Njingo