MAELEZO NA PICHA ALIYOPOST MSANII MIRACLE AKIWA NA KOKU YAZUA UTATA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, July 9, 2015

MAELEZO NA PICHA ALIYOPOST MSANII MIRACLE AKIWA NA KOKU YAZUA UTATA.

MSANII MIRRACLE

Msanii wa hipo hop toka dodoma Mirracle siku ya leo amepost picha akiwa na msanii mrembo toka dodoma wakuitwa Koku ambaye kwasasa anatamba na nyimbo yake aliyomshirikisha msanii Bushoke.
picha hiyo iliyo ambatana na maneno yenye utani ndani yake pamoja na ukweli kwa mbaaaliii Miracle ameandika.
(Bushoke atabaki kuwa Mume bwege)
MIRRACLE NA KOKU WAKIWA KWENYE POZI
Bushoke Atabaki Kuwa Mume Bwege
#MiracleNoma #KokuNoma...
Nazingua Si Mnajua Expirienc...
Penda Mzik Mzur Kama Mimi.. Download Koku Ft Bushoke~NAKUWAZA
DREAMZ REC

MTANDAO HUU BADO UNAFANYA JITIADA ZA KUMTAFUTA MSANII HUYO KUTHIBITISHA NA KUELEZEA KAULI YAKE HIYO.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages