TAZAMA PICHA JINSI WASANII WA DODOMA WANAVYO PAMBA WIKI LA ELIMU KWENYE KIWANJA CHA JAMHURI AMBAPO KILELE CHAKE NI IJUMAA - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, May 12, 2015

TAZAMA PICHA JINSI WASANII WA DODOMA WANAVYO PAMBA WIKI LA ELIMU KWENYE KIWANJA CHA JAMHURI AMBAPO KILELE CHAKE NI IJUMAA

Ama kweli ukitaka sherehe yako ipendeze lazima pawe na muziki, lakini kwa kuthibitisha hilo kwenye wiki la elimu linalo fanyika mkoani dodoma kwa siku tano na kilelel chake ni ijumaa ya wiki hii vijana ambao wanafanya muziki wa kizazi kipya toka dodoma wameonyesha ozalendo wa hali ya juu kwa kuwa mstari wa mbele kusapot elimu nchini.
Tazama picha jinsi mambo yanavyoendelea.
kundi la Rap Nation wakifanya show
wanafunzi pia wapo mstari wa mbele

jizzle volt toka dodoma fm mwenye kitambulisho akiwa na Ally mzichi nyuma ni bush man

Mexson Mzichi toka kundi la mazichi reality

mambo hayoooo

Big Born 90 nae yupo ndani

vituko toka kwa bush man

wasanii wa dodoma wakimsikiliza mtangazaji toka dodoma fm Andrew quicky aliye vaa kitambulisha

jose akihost show 

vipaji toka kwa wanafunzi vikionyeshwa

kiruuuuuuuuu


sonnatha abul 97.7

ally mzichi


rap nation haooooo

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages