ukianza kuorodhesha madirector wakali toka kanda ya kati basi list yako itakuwa haijakamilika kama hujamtaja Erick backamaza toka dodoma, miongoni mwa kazi ambazo aliwai kuitoa ni video ya MAYA yake One six na ilifanikiwa kufanya vizuri kwenye TV kubwa za bongo.
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu jamaa alikuwa chimbo akijipanga kuachia mabomu ya hatari na sasa yupo tayari na tayari amemtangaza msanii wake ambaye anaanza nae kwenye project mpya ambaye ni BIG DADY.
kupitia ukurasa wake wa facebook Dir Backamaza ameandika ujumbe huu kwa mafansiwake pamoja na kuambatanisha na picha.
'''''''TO MA BELOVED FUNS
Nimekuwa Kimya kwa Mda flan
Hii ni kwa sababu za Kiufundi
Hope kuanzia Tarehe 06/06/2015 Narejea Kivingne
==Tangu Naanza Sikutamani KUTOKA,Nilitamani Tu KUINGIA==''''''''''