Baada ya siku nne ya za kampeni ndani ya chuo cha a.j.t.c hatimaye mshindi apatikana kwa kishindo huku nderemo na vifijo zikitawala ndani ya ukumbi wa chuo hicho, pasipo kujulikana mshindi ni nani watu wakisubiri kwa hamu matokeo ndipo mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi SHEDRACK MGAYA alipo ingia ndani ya ukumbi huo na kuanza kutandaza matokeoa.
kati ya kura 202 zilizo pigwa na kura tisa ndizo zilizo haribika, huku mgombea wa kwanza ambaye niJOSEPH RICHARD amepata kura 31, na wapili NDALIKE SAIDI SONDA amepata kura 33, na kubakiwa na GEORGE COSTA SILANGE kabla ya kutangazwa wanafunzi walianza kupiga kelele na mavuvuzela kwa shindo kwa kuwa walikuwa wamesha mjua mshindi ni na nani.
mwenyekiti wa uchaguzi alimtangaza GEORGE SILANGE kuwa mshindi kwa kupata kura 129 na kutangazwa rasmi kuwa ni mshindo wa kinyang'anyiro hicho cha uraisi katika chuo hicho cha uandishi wa habari na utangazaji arusha>
PICHA ZA TUKIO ZIMA TEMBELEA BLOG HII SIKU YA KESHO..........................
(ITS SO XCLUSIVE USIKOSE)
vimbwangwa na vituko na mengine meeeeeeengi
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Friday, May 24, 2013

Home
MAISHA
MAAJABU UCHAGUZI WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI ARUSHA (A.J.T.C) MSHINDI APITA KWA KISHINDO
MAAJABU UCHAGUZI WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI ARUSHA (A.J.T.C) MSHINDI APITA KWA KISHINDO
Tags
# MAISHA
Share This
About inngelangelanews.blogspot.com
MAISHA
Labels:
MAISHA
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.