(TANGAZO) TARH 1 JULY HADI 21 JULY 2017 NDIO TAREHE ZA WAFANYABIASHARA MANISPAA YA DODOMA KULIPIA LESENI ZAO BAADA YA HAPO ADHABU KUTOLEWA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, June 30, 2017

(TANGAZO) TARH 1 JULY HADI 21 JULY 2017 NDIO TAREHE ZA WAFANYABIASHARA MANISPAA YA DODOMA KULIPIA LESENI ZAO BAADA YA HAPO ADHABU KUTOLEWA.

Ofisi ya mkurugrnzi wa Manispaa ya Dodoma inapenda kuwa tangazia wafanyabishara wote wa mkoa wa Dodoma kuwa zoezi la kuhuisha (RENEWALS) Leseni za biashara kwakipindi cha mwaka 2017/18 ni kuanzia Tarehe 1 july hadi 21 july 2017.
 Image result for dodoma
Kwawale watakaolipia ada za leseni kwa kipindi kipindi tajwa watalipia ada hizo bila adhabu (Penalty), Baada ya hapo tarehe 21 july 2017 watalipia ada hizo pamoja na adhabu Penalty.

wafanyabiashara wametakiwa kufika ofisi ya mkurugenzi wa Dodoma kitengo cha biashara wakiwa na..
1.Makala ya leseni iliyomaliza muda wake.
2.Tax clearence certificate ya mwaka 2017

Mkurugenzi amemmaliza kwa kuwatakia utekelezaji mwema wafanyabiashara wote ili kuondokana na usumbufu unaoweza kujitokeza.

Hii imetolewa na mh Godwin E. kunambi mkurugenzi wa manispaa ya Dodoma.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages