Ofisi ya mkurugrnzi wa Manispaa ya Dodoma inapenda kuwa tangazia wafanyabishara wote wa mkoa wa Dodoma kuwa zoezi la kuhuisha (RENEWALS) Leseni za biashara kwakipindi cha mwaka 2017/18 ni kuanzia Tarehe 1 july hadi 21 july 2017.
Kwawale watakaolipia ada za leseni kwa kipindi kipindi tajwa watalipia ada hizo bila adhabu (Penalty), Baada ya hapo tarehe 21 july 2017 watalipia ada hizo pamoja na adhabu Penalty.
wafanyabiashara wametakiwa kufika ofisi ya mkurugenzi wa Dodoma kitengo cha biashara wakiwa na..
1.Makala ya leseni iliyomaliza muda wake.
2.Tax clearence certificate ya mwaka 2017
Mkurugenzi amemmaliza kwa kuwatakia utekelezaji mwema wafanyabiashara wote ili kuondokana na usumbufu unaoweza kujitokeza.
Hii imetolewa na mh Godwin E. kunambi mkurugenzi wa manispaa ya Dodoma.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Friday, June 30, 2017
Home
HABARI
(TANGAZO) TARH 1 JULY HADI 21 JULY 2017 NDIO TAREHE ZA WAFANYABIASHARA MANISPAA YA DODOMA KULIPIA LESENI ZAO BAADA YA HAPO ADHABU KUTOLEWA.
(TANGAZO) TARH 1 JULY HADI 21 JULY 2017 NDIO TAREHE ZA WAFANYABIASHARA MANISPAA YA DODOMA KULIPIA LESENI ZAO BAADA YA HAPO ADHABU KUTOLEWA.
Tags
# HABARI
Share This
About inngelangelanews.blogspot.com
HABARI
Labels:
HABARI
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.