MENEJA CHAMBUSO AIKACHA MKUBWA NA WANAWE AUNGANA NA ASLAY KUBORESHA LABEL MPYA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, July 7, 2017

MENEJA CHAMBUSO AIKACHA MKUBWA NA WANAWE AUNGANA NA ASLAY KUBORESHA LABEL MPYA.

Aliekuwa meneja wa kundi la salam tmk Meneja Chambuso amethibisha kuachana na label ya mkubwa na wanawe ambayo ilikuwa inasimamiwa na mkubwa fella kutoka Tmk.
Image result for CHAMBUSO
chambuso

Akizungumza na kipindi cha micharazo time cha 98.4 dodoma fm radio na Benedict Ngelangela Chambuso amesema kwasasa hayupo tena kwenye ufanyaji wa kazi chini mkubwa fella ambaye amedumu nae kwa muda mrefu na amefanikiwa kuwatoa baadhi ya wasanii.

Chambuso amesema kutokana na kazi ambayo ameifanya chini yamkubwa na wananawe ameona imetosha na ni vyema akaendelea kuwasaidia vijana wengine ambao hawajasikika kabisa kwani anaamini watu wenye vipaji vikubwa wapo mitaani na hawajapata nafasi yakuonekana.

 Aidha amesema kwasasa anafanya kazi na Aslay na nguvu zake nyingi ameamishia huko.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages