TANZIA:MWANASIASA MKONGWE KINGUNGE NGOMBALE MWIRU AFARIKI DUNIA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, February 1, 2018

TANZIA:MWANASIASA MKONGWE KINGUNGE NGOMBALE MWIRU AFARIKI DUNIA.

Mwanasiasa mkongwe nchini Mzee Kingunge Ngombale-Mwiru amefariki dunia usiku wa kuamkia Leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa anatibiwa, familia yake imeripoti.
Image result for kingunge ngombale mwiru
Mzee Kingunge (87) alikuwa akitibiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akiuguza majeraha ya kushambuliwa na kung’atwa na mbwa akiwa nyumbani kwake.
Katika enzi za uhai wake Mzee Kingunge alikuwa mmoja wa viongozi wa muda mrefu wenye ushawishi na waasisi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) hadi alipojiuzulu kutoka kwenye chama hicho Oktoba 2015.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages