Msanii wa muziki kutoka Dodoma Tanzania ametangaza kuja na ujio wa nyimbo mpya ambayo bado hajaweka wazi kuwa wimbo huo unahusu nini na ni nani mtayarishaji mkuu.
Ikumbukwe Ainea ambaye aliwahi kutamba na kibao kama sina mpango nae mara ya mwisho kuachia wimbo ilikuwa ni mwishoni mwa mwaka jana na amekaa kitambo kirefu bila kuachia kazi yoyote ya muziki.
kupitia ukurassa wake wa facebook Ainea aliweka wazi kuwa yupo tayari kuachia kazi mpya.
NIMDA MREFU NIMEAHID KUACHI WIMBO MPYA LEO NDO NITAWEKA TEASER YA VIDEO
YANGU MPYA TEASER HYO ITAKUWA KWENYE YOUTUBE CHANEL YANGU AINEA AINEA
SUBSCRIBE YOUTUBE CHANEL YANGU AINEA AINEA ILI UWE WAKWANZA KUIONA
PIA Naruhusu maswali nitayajibu hapa hapa coz inbox siwezi wajibu wote pia nisaidie kushare hii post iwafikie wengi. aliandika Ainea facebook
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Friday, August 18, 2017
UJIO MPYA WA AINE HUU HAPA, AWATAKA MASHABIKI KUSUBSCRIBE CHENEL YAKE YA YOUTUBE
Tags
# BURUDANI
Share This
About inngelangelanews.blogspot.com
BURUDANI
Labels:
BURUDANI
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.