Dir wa video kutoka bongo Jowzey amesema hajawahi kuwaza kwenda kushoot video nje ya nchi kutoka na bajeti ndogo ambazo wasanii hutoa na huwa hazijitoshelezi kusafiri na kwenda kushoot video nje ya Tanzania.
Akiongea na Benedict Ngelangela kutoka 98.4 dodoma fm radio kipindi Micharazo Time Jowzey amesema ni vyema waongozaji wa video wakawa wazalendo kwakuendelea kutumia location za Bongo kutengeneza video.
Ameongeza kwakusema waongozaji wengine wamekuwa wakisafiri kwenda nje kutokana na ushamba wa kwenda nje lakini si kweli kwamba wanafata vitu bora, na muda mwengine ni bora wakawaomba wasanii bajeti kubwa ambazo wanapeleka nje kwani ni vywema pesa zisitoke nje zibaki hapa hapa bongo na kukuza tasnia.
Aidha amesema akipewa bajeti ya kwenda nje kushoot video anaweza kwenda lakini nilazima iyo bajeti iwe yakutosha na mara nyingi wasanii hushindwa kufikia kiwango anachokihitaji ili akashoot nje ya Tanzania.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Tuesday, August 15, 2017
DIR JOOWZEY -- KUSHOOT VIDEO NJE YA NJE NI USHAMBA WA KUSAFIRI.
Tags
# BURUDANI
Share This
About inngelangelanews.blogspot.com
BURUDANI
Labels:
BURUDANI
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.