DIR JOOWZEY -- KUSHOOT VIDEO NJE YA NJE NI USHAMBA WA KUSAFIRI. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, August 15, 2017

DIR JOOWZEY -- KUSHOOT VIDEO NJE YA NJE NI USHAMBA WA KUSAFIRI.

Dir wa video kutoka bongo Jowzey amesema hajawahi kuwaza kwenda kushoot video nje ya nchi kutoka na bajeti ndogo ambazo wasanii hutoa na huwa hazijitoshelezi kusafiri na kwenda kushoot video nje ya Tanzania.
Image may contain: one or more people and camera
Akiongea na Benedict Ngelangela kutoka 98.4 dodoma fm radio kipindi Micharazo Time  Jowzey amesema ni vyema waongozaji wa video wakawa  wazalendo kwakuendelea kutumia location za Bongo kutengeneza video.

Ameongeza kwakusema waongozaji wengine wamekuwa wakisafiri kwenda nje kutokana na ushamba wa kwenda nje lakini si kweli kwamba wanafata vitu bora, na muda mwengine ni bora wakawaomba wasanii bajeti kubwa ambazo wanapeleka nje kwani ni vywema pesa zisitoke nje zibaki hapa hapa bongo na kukuza tasnia.

Aidha amesema akipewa bajeti ya kwenda nje kushoot video anaweza kwenda lakini nilazima iyo bajeti iwe yakutosha na mara nyingi wasanii hushindwa kufikia kiwango anachokihitaji ili akashoot nje ya Tanzania.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages