Baada yakutoa EP album yake akiwa ni msanii wa kwanza kufanya ivo kutoka Dodoma Giftedson ameelezea mafanikio yake aliyoyapata mpaka sasa baada ya kuachia EP album yake.
akizungumza kwenye kipindi cha micharazo time toka 98.4 dodoma fm radio Gifted amesema baada yakuachia EP yake amefanikiwa kukutana na watu wengi zaidi ambao ni wakubwa kwenye muziki wa bongo na wamekuwa wakimsaidia kufanya mambo makubwa pamoja nakumuonesha njia yakupita.
Ameongeza nakusema anashukuru Mungu EP yake yenye nyimbo tano imefanikiwa kupendwa hadi nje ya nje na kuna msanii kutoka Burundi ameomba kufanya remix ya wimbo mmoja wapo ambao unapatikana kwenye album yake hiyo.
ikumbukwe kuwa EP album hyo inajumla ya nyimbo tano alizo shirikiana na msanii wa kike kutoka Arusha Quenn Fifi pamoja na Haidary Scoda huku Onesix ni mmoja wa wasanii wakuimba walio husika.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Tuesday, August 22, 2017
GIFTEDSON--NINA COLLABO NA MSANII KUTOKA BURUNDI PAMOJA NA KENYA.
Tags
# BURUDANI
Share This
About inngelangelanews.blogspot.com
BURUDANI
Labels:
BURUDANI
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.