Msanii wa muziki kutoka Dodoma Tanzania Onesix ametumia ukurasa wake wa facebook kueleza kinacho msumbua kiafya nakuwaomba wadau na masabiki zake wamuombee ili arudi kwenye hali yake ya kawaida.
Hivi karibuni kupitia kipindi cha micharazo time toka 98.4 dodoma fm radio Onesix aliripotiwa kupata homa iliyopelekea kulazwa na baada ya wiki moja alipona kabisa.
HIKI NDICHO ALICHOANDIKA ONE SIX KWENYE UKURASA WAKE FB.
Daaah ndug zang hali imenirudia tena naumwa Sana siku ya nne tang nipost post ya mwisho........maombi yenu ndio yalinisimamisha mara ya kwanza na nikasimama so plz naomba sana ndug zang na mi pia najiombea mwenye uhitaj wa kuniona aje nyumbani kisasa kw mama.......karibun sana
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Thursday, July 20, 2017
MSANII ONE SIX AOMBA MAOMBI KWA WADAU BAADA YA HALI YAKIAFYA KUWA MBAYA.
Tags
# BURUDANI
Share This
About inngelangelanews.blogspot.com
BURUDANI
Labels:
BURUDANI
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.