IMMA SADALA MKALI WA MEDIA ALIE GEUKIA KILIMO CHA MATIKITI, AIGEUKIA SERIKALI KWA HILI. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, June 8, 2017

IMMA SADALA MKALI WA MEDIA ALIE GEUKIA KILIMO CHA MATIKITI, AIGEUKIA SERIKALI KWA HILI.

Serikali imetakiwa kuhakikisha inakuwa karibu na wakulima wamatikiti pamoja na kupanga bei elikezi ambayo itakuwa na manufaa kwa wakulima na walanguzi.

Image may contain: 1 person
imma sadala mkulima wa matikiti
hayo yamezungumzwa na mmoja wa wakulima wa zao hilo Bw Emanuel Sadala kutoka kijiji cha mvumi mkoani Dodoma na kusema wamekuwa wakipata changamoto yakupangiwa bei na madalali wa zao hilo hali inayo pelekea kuto nufaika na zao hilo.


Pamoja na hayo amesema wakulima wa matikiti mkoani Dodoma wamekuwa wakipata changamoto ya kununua dawa za mazao kwa bei kubwa pamoja na kukosa maduka makubwa ambayo yanauza dawa na hupelekea kuzifuta mikoa mingine jambo linalo sababisha kupoteza muda.


Sanjari na hayo ameiomba serikali kuhakikisha inafungua viwanda na kuruhusu wawekezaji kuwekeza kwenye sekta hilo ili iwe rahisi kwa wakulima kupeleka mazao mbalimbali pamoja na kuongeza wigo wa mauzo.



Na Benedict Ngelangela.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages