mzalishaji wa ngoma za bongofleva nchini DOUBLE Y ambaye ni mkazi wa dodoma anatarajia kutengeneza wimbo ambao atashiriki msanii wa ulimwengu SNOP DOG.
Hayo ameyasema DOUBLE Y kupitia ukurasa wake wa facebook na Instagarm kwa kupost taarifa inayoonesha kuwa moja ya wasamii nchini wakuitwa CHINDO MAN amempa nafasi mtayarishaji huyo kuandaa wimbo wake ambao atashiriki msanii wakimatifa SNOP DOG.
HIKI NDICHO ALICHOA ANDIKA DOUBLE Y KUPITIA FACEBOOK
Tankx Broda kwakunipa nafasi kubwa ya Collabo kubwa Duniani Nikiwa kama (Producer) au Mtarishaji wa Nyimbo hiyo kubwa Dunia Nzima salute Broda ## CHINDO MAN azungumia Collabo yake na SNOOP DOGG na Kifo cha Mtoto wake Marekani
Kwenye moja ya mahojiano aliyoifanya msanii CHINDO MAN Amesema anatamani kufanya kazi na SNOP DOG na yupo kwenye hatua za kumtafuta msanii huyo mkubwa duniani na pindi akimpata basi wimbo huo angependa utengenezwe na producer wa Bongo ambaye ni DOUBLE Y kutoka mkoani Dodoma.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Friday, May 5, 2017

Home
BURUDANI
PRO DOUBLE KUTOKA DODOMA APATA DEAL LA KUTENGENEZA COLLABO YA CHINDO MAN FT SNOOP DOG.
PRO DOUBLE KUTOKA DODOMA APATA DEAL LA KUTENGENEZA COLLABO YA CHINDO MAN FT SNOOP DOG.
Tags
# BURUDANI
Share This
About inngelangelanews.blogspot.com
BURUDANI
Labels:
BURUDANI
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.