WAIGIZAJI SONNATHA NDUKA NA JACQULINE MATERU NI NGUMI MKONONI WAPEANA MAKAVU INSTAGRAM. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, March 23, 2017

WAIGIZAJI SONNATHA NDUKA NA JACQULINE MATERU NI NGUMI MKONONI WAPEANA MAKAVU INSTAGRAM.

hivi karibuni mwandishi wa blog hii alikutana na sitofahamu kupitia ukurasa mmoja wa instagram baada yakuona maneno ya kijeli ambayo yalizua mjadali mzito na mapovu ya hali yajuu kati ya wasanii hao wawili wa filamu ndani ya Dodoma ambao wote wanajivunia kwa kuitangaza Dodoma vizuri zaidi.
Image may contain: 1 person, standingImage may contain: 1 person, sitting, table, food and indoor
JACQUELINE MATERU & SONNATHA NDUKA

Mchezo ulianza baada ya Sonatha Nduka kusifiwa kuwa ameedit vizuri moja ya filamu ambayo imetoka hivi karibuni ambayo imechezwa na mwanadada Jacline Materu ndipo muhusika ambaye ni Jacqueline Materu kuja nakucomment kwakutumia neno ambalo lilionekana kama vile Jack amempuuza SONNATHA. (EDITING MY FOOT).


SOMA JINSI COMMENT ZA INSTAZILIVYOKUWA ZIKIENDA.




Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages