(VIDEO) WAKAZI WA IPALA MANISPAA DODOMA WAGOMEA KUZIKA HADI WAPATE MAJIBU LINI ZAHANATI YAO ITAKUWA NA WAHUDUMU. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, March 30, 2017

(VIDEO) WAKAZI WA IPALA MANISPAA DODOMA WAGOMEA KUZIKA HADI WAPATE MAJIBU LINI ZAHANATI YAO ITAKUWA NA WAHUDUMU.

katika hali isiyokuwa yakawaida wakazi wa kata ya IPALA manispaa ya Dodoma wamegoma kuzika mwili wa mtoto aliye fariki Dunia mara baada yakukosa matibabu katika zahanati tegemezi ya kata ya Ipala.
wakiongea na 98.4 Dodoma fm radio wananchi waliofika kwenye tukio hilo wamesema walifikia uamuzi huo mwezi huu kwani wamekuwa na changamoto ya ukosefu wa wahudumu wa afya kwa muda mrefu.

Mtangazaji wa kipindi cha AFRICA MOTO toka 98.4 Dodoma fm radio VICTOR MAKWAWA alifika sehemu ya tukio na kuzungumza na wananchi pamoja viongozi wa serikali akiwemo Diwani wa kata hiyo pamoja na Afisa Mtendaji wa kata hiyo.

TAZAMA VIDEO HAPA CHINI YA TUKIO ZIMA JINSI LILIVYOKUWA.




Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages