SIKILIZA(AUDIO) ALICHOSEMA FOBY STAR KWANINI ALIKATAA DILL ZA KUJIUNGA NA LABEL ZA MUZIKI BONGO, PIA KUHUSU KUACHIA WIMBO MPYA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, January 16, 2017

SIKILIZA(AUDIO) ALICHOSEMA FOBY STAR KWANINI ALIKATAA DILL ZA KUJIUNGA NA LABEL ZA MUZIKI BONGO, PIA KUHUSU KUACHIA WIMBO MPYA.

Image result for FOBY
FOBBY MSANII WA BONGO FLEVA

Kupitia kipindi cha micharazo time toka 98.4 dodoma fm radio msanii wakufahamika kama Foby Star ambaye tangu mwaka jana alikuwa akitamba na wimbo wake wa STAR amesikika akizungumzia harakati za muziki pamoja na mipango yake kwenye muziki wa bongo.

Foby amemwambia mtangazaji wa kipindi hicho Benedict Ngelangela kuwa aliwahi kufatwa na label kubwa za muziki bongo lakini alikata kwasababu ya malengo yake naye ni kumiliki wasanii wake na kuwasimamia kwaio hayuko hajafikiria kujiunga na label yoyote kwasasa.

pia foby amesema mwishoni mwa mwezi huu anatarajia kuachia wimbo mpya ambao utavunja raekodi kuli wimbo wa STAR.

BONYEZA HAPA KUSIKILIZA FULL INTERVIEW

NA HII NI VIDEO YA WIMBO WAKE WA KWANZA STAR SHUKA CHINI KUITAZAMA.



Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages