SIKILIZA (AUDIO) ONE_SIX KAHAMIA KWENYE MUZIKI WA HIP HOP, AKUBALI KUZUNGUMZIA KILICHOSABABISHA KUSHIKILIWA NA POLISI. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, January 23, 2017

SIKILIZA (AUDIO) ONE_SIX KAHAMIA KWENYE MUZIKI WA HIP HOP, AKUBALI KUZUNGUMZIA KILICHOSABABISHA KUSHIKILIWA NA POLISI.

Msanii wa mzuki kutoka Dodoma ONSIX ambaye anatamba nakibao chake cha MAMA DONT CRY kwasasa amesema ujio unao fuata amepanga kuachia wimbo wenye mahadhi ya HIP HOP.
Image result for ONESIX VICTOR
Add caption

Hayo yamezungumza na msanii huyo katika kipindi cha Micharazo Time toka 98.4 Dodoma fm radio kinacho ongozwa na Benedict Ngelangela nakusema ameamua kufanya muziki wa Hip Hop kwenye ujio wake mpya kwasababu anataka kuwaonesha mashabiki zake kuwa anauwezo waziada kwenye game la muziki pamoja na kufanya vitu vingi.

BONYEZA HAPA KUSIKILIZA FULL INTERVIEW


Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages