(AUDIO) JACCO BEAT AZUNGUMZIA KILICHO MFANYA AMTUKANE FRANCK MUSIC MENEJA WA BIORN PRODUCTION - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, January 23, 2017

(AUDIO) JACCO BEAT AZUNGUMZIA KILICHO MFANYA AMTUKANE FRANCK MUSIC MENEJA WA BIORN PRODUCTION

Msanii wa muziki kutoka Dodoma JACCO BEAT ameoneshwa kukasirishwa na meneja wa kusimamia wasanii kutoka label ya BIORN ENTERTIMENT FRANCK MUSIC kwani anaamini hayapendi mafanikio yake kimuziki.
Image result for jaco beatz
ameyasema hayo wakati akizungumza kwenye kipindi cha micharazo time kutoka 98.4 dodoma fm radio na Benedict Ngelangela nakusema amekuwa akikutana na misuko suko mingi lutokana kwa meneja huyo kwani amekuwa akiingilia kazi zake pamoja na kuzikosoa bila sababu ya msingi.

pia amesema kuwa meneja huyo alisha wahi kuweka kampeni ya yeye kukosa tuzo ya Nyambago lakini alishindwa kwani aliipata.
BADO TUNAFANYA HARAKATI ZA KUMTAFUTA FRANK MUSIC

BONYEZA HAPA KUSIKILIZA FULL INTERVIEW YA JACO BEATZ


Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages