ONESIX ASHINDWA KUAMINI KILICHOTOKEA KWENYE SHOW YA (BYK_PARTY) AZUNGUMZA MANENO HAYA KWA MASHABIKI. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, December 27, 2016

ONESIX ASHINDWA KUAMINI KILICHOTOKEA KWENYE SHOW YA (BYK_PARTY) AZUNGUMZA MANENO HAYA KWA MASHABIKI.

Msanii wa mzuki wakizazi kipya kutoka Dodoma kutoka Dodoma Onesix siku ya Boxing Day alikuwa ni mmoja wa wasanii walifanya show katika ukumbi wa Maisha Club Dodoma na alifanaikiwa kupiga show kubwa na kuwekwa kwenye list ya wasanii waliofanya vizuri siku hiyo.
Image may contain: 1 person
onesix

sasa kama ilivyo ada ya wasanii wengine wakifurahishwa na jambo lazima wazungumze jambo sasa msanii huyo ambaye kwasas anatamba na wimbo wake wa Mama Dont cry ameandika maneno yashukrani kwakile ambacho mashabiki mwalimuonesha kwenye show hiyo ya BYK party.

YAMESOMEKA HIVI.
######Asanten Wana dodoma kw kushow love ktk show yetu Ile Ile ya nyumban #byk magheton show ambayo utukutanisha watu ambao hatukuonana kitambo na kusherehekea pamoja.......... Dah ki ukwel mliamsha sana Sina cha kuwalipa watu wa mungu Zaid ya kuwatakia maisha marefu......######

Hivi karibuni pia msanii huyo anatarajia kuachia video ya wimbo wake mpya.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages