
Sonnatha ameyazungumza hayo kupitia kipindi cha micharazo Time Toka 98.4 Dodoma fm radio wakati akijibu swali la mtangazaji wa kipindi hicho Benedict Ngelangela kuwa hali ya soko la Dodoma likoje.
![]() |
sonnatha nduka |
kwaupande mwingine Sonnatha alipoulizwa kwanini wasanii waliopitia kwa Director mwenye jina kubwa nchini anaetokea Dodoma Suleish Marah humsema vibaya kuwa amekuwa akiwapa nafasi baadhi ya wasanii amabo yupo karibu nao zaidi, Sonnatha amejibu si kweli bali Suleish ni mtua anae ijua kazi yake na humpatia mtu kazi yakufanya kutokana na maudhui ya story na sehemu anayo fit na hana upendeleo.
Pamoja na hayo ameongeza na kusema wasanii wengi wamekuwa na hamu yakutoka kwa haraka bila kuweka vipaji vyao vizuri ndio maana hujitoa nakutoa maneno ambayo si sahihi kwa baadhi ya watu, akijitolea mfano yeye Sonata amesema amekaa kwa Suleish takribani miaka mitatu lakini hajawahi kucheza moview watu wamekuwa wakija wanapata nafasi lakini hajawahi kulalamika kwani aliamini siku yake itafika na mpaka sasa ndio ametoa movie yake iliyo chini ya Suleish na inafanya vizuri kwasasa.
Sonnatha nduka amewataka wasanii wa movie Dodoma kuwa wavumilivu watayafikia mafanikio.