''KOK TEILA'' -- BUJANLAU FT DARASSA IMEKAMILIKA NA INAKARIBIA KUTOKA MUDA WOWOTE. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, March 24, 2016

''KOK TEILA'' -- BUJANLAU FT DARASSA IMEKAMILIKA NA INAKARIBIA KUTOKA MUDA WOWOTE.

mdau wa muziki mkoani dodoma amabye yupo karibu na wasanii wamuziki mkoani hapa amepost picha akiwa studio kwenye picha hiyo anaonekana DARASA na BUJANLAU na kwenye maandishi yaliyo ambatana na picha hiyo KOK TEIL ametoa taarifa kuwa kuna collabo kati ya msanii kutoka dodoma BUJANLAU pamoja na DARASA.
kok teila, darasa na bujanlau

SOMA ALICHOKIANDIKA.


On behalf#of Dom stand up#team#street Announcment#Ngoma mpya ya buja ft darasa iko ready#but still niga#kuna vitu anafix out#km kuandaa cover ‪#‎na‬ tarehe rasmi atakayo dondosha ngoma yk#pia buja bado anachonga na wadau wawili watatu#hususan#presenters#and Djz coz#wadau ndo nguzo kuu ktk harakat zk#so vikikaa poa#he will let us know#kwa fans wa buja#na raia wote#wanaotaka kujua ‪#‎jina‬ la ngoma hiyo#ataweka wazi muda ukifika#na posters zitakazokuwa zikipostiwa#kwenye social media#aka#FB#INST#na mitandao mingine ya kijamii#itaweka wazi#jina la ngoma#na lini itaachiwa kwenye redio#na mkito# producer wa ngoma hiyo ni G brain#much respect kwa buja@Darasa@Gbrain ‪#‎kwa‬ kufanikisha mzigo huu#mr knowlege#Bujanlau De King#2016 wth great success#stay turne#OVER

kwasasa bujanlau anatamba na wimbo wake uitwao knowledge aliomshiriksha onesix

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages